This Course Start at: Jan 19, 2026
, End at Jan 23, 2026
at TABORA
for 5 Days
| Name |
Mafunzo Maalumu kwa Watendaji wa Vijiji, Mtaa na Kata |
| Target Groups |
Watendaji wa Vijiji, Mtaa na Kata
|
| Description |
Specialized training for village, street, and ward administrators. |
| Fee |
650000 |
| Coordinator |
Brevius Rudovick
Email: brevius.rudovick@tpsc.go.tz
Phone: +255753098999
|
| Objectives |
- Kuelewa kanuni za uongozi na utawala bora.
- Kujua haki, majukumu, na wajibu wa watendaji wa kata.
- Kuelewa maadili ya utumishi wa umma.
- Kupata ujuzi wa utunzaji wa siri na nyaraka za serikali.
- Kujua sheria na kanuni za utumishi wa umma.
- Kuelewa itifaki za kiserikali.
- Kujifunza usimamizi wa miradi ya serikali.
- Kuelewa ukusanyaji wa mapato na usimamizi wa fedha za serikali.
|
| Topics |
- Dhana ya Uongozi na Utawala Bora
- Haki, Majukumu na Wajibu wa Watendaji wa Kata
- Maadili ya Utumishi wa Umma
- Utunzaji wa Siri na Nyaraka za Serikali
- Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma
- Itifaki za Kiserikali
- Usimamizi wa Miradi ya Serikali
- Ukusanyaji wa Mapato na Usimamizi wa Fedha za Serikali
|